Usajili

Namna Ya Kujisajili

1 – Ingia kwenye tovuti yetu www.gsb.co.tz
2 – Bonyeza kwenye Jiunge
3 – Weka namba yako ya simu kwa ajili ya kujisajili
4 – Jaza neno la siri, inatakiwa iwe na tarakimu zisizopungua 8 ukichanganya herufi na namba.
5 – Jaza jina lako la kwanza na la mwisho
6 – Usijaze sehemu ya promo-code
7 – Kubali Vigezo na Masharti
8 – Mwisho, bonyeza Ingia.

KUMB: Utapokea code ya uthibitisho kama ujumbe kwenye simu yako; Ingiza code hizo kuthibitisha akaunti yako