Jinsi ya Kutoa pesa

Kutoa na Airtel

• Ingia kwenye akaunti yako
• Bonyeza Toa Pesa


• Chagua Airtel mobile money
• Weka kiasi unachotoa


•Bonyeza kutoa
• Kiasi kitawekwa kwenye mtandao wako wa simu

Kutoa na Halotel

• Ingia kwenye akaunti yako
• Bonyeza Toa Pesa


• Chagua Halotel mobile money
• Weka kiasi unachotoa


•Bonyeza kutoa
• Kiasi kitawekwa kwenye mtandao wako wa simu

Kutoa na Tigo

• Ingia kwenye akaunti yako
• Bonyeza Toa Pesa


• Chagua Tigo mobile money
• Weka kiasi unachotoa


•Bonyeza kutoa
• Kiasi kitawekwa kwenye mtandao wako wa simu

Kutoa na Vodacom

• Ingia kwenye akaunti yako
• Bonyeza Toa Pesa


• Chagua Vodacom mobile money
• Weka kiasi unachotoa


•Bonyeza kutoa
• Kiasi kitawekwa kwenye mtandao wako wa simu

Kutoa na USSD

1 – Ingia kwenye akaunti yako
2 – Bonyeza Toa Pesa
3 – Chagua  ya USSD


4 – Andika kiasi unachotaka kutoa na neno la siri.
5 – Bonyeza Toa Pesa


6- Utatumiwa code ya kutolea kwenye simu yako kwa njia ya ujumbe.
7 – Piga *148*53#
8 – Chagua (3) kwa kutoa kwenye mtandao.
9 – Ingiza code ya kutoa iliyotumwa kwenye simu yako.
10 – Thibitisha na uangalie sms ya kuthibitisha muamala.

Kiasi cha chini: 1,000 – Kiasi cha juu: Hakuna kikomo

Kutoa kupitia duka 

â—Ź Ingia kwenye akaunti yako na bofya kutoa!
â—Ź Chagua duka

â—Ź Weka kiasi unachotaka kutoa na ingiza nywila yako
â—Ź Bofya kitufe cha omba kutoa
â—Ź Utapokea ujumbe mfupi na kodi yako ya kutolea kwenye simu yako
â—Ź Nenda duka letu lolote lililopo karibu yako na umpe wakala namba yako ya mteja, kiasi ulichotoa na kodi ya kutolea.