Shinda Simu Kila Siku ya Ligi ya Mabingwa!
Bet na ujipatie Simu yako Sasa!

Bashiri kwenye Ligi ya Mabingwa katika kipindi cha OFA na utafuzu kuwa sehemu ya droo ya kupata simu mpya.

Masharti Madogo

WASHIRIKI WOTE LAZIMA WAJIANDIKISHE KWENYE OFA MARA MOJA ILI KUSHIRIKI KATIKA OFA.

Muda wa OFA hii:

21/02/2023  hadi  21/02/2023 (23:59 )

22/02/2023  hadi  22/02/2023 (23:59)

14/03/2023  hadi 14/03/2023 (23:59)

15/03/2023 hadi 15/03/2023 (23:59)

Kuna jumla ya droo 4 zitakazofanyika katika kipindi cha ofa.

Mshiriki lazima acheze angalau TSH 5,000 ili afuzu kwenye droo

Washindi watatokana na droo.

Beti lazima ziwe kwenye michezo ya Champions Leagues (Live na Pre match)

Madau/Mikeka inayochezwa na bonasi haitahesabiwa.

Hakuna kikomo cha Odds.

Hakuna Mshiriki anayeweza kushinda zaidi ya zawadi moja katika kipindi chote cha ofa.

Gharama zozote za ziada isipokuwa gharama ya zawadi hazitakuwa jukumu la kampuni zitakuwa za Mshindi husika. Hizi zinaweza kuwa gharama za usafiri, bima, leseni, ada ya uhamisho n.k

Zawadi / Ofa lazima ichukuliwe ndani ya siku 5 za kazi, vinginevyo itakuwa batili.

Mshindi wa zawadi atakubali kupigwa picha na zawadi husika ikiwa ni sehemu ya makubaliano kati ya mshindi na kampuni .

Sheria zote za michezo ya bahati nasibu zitatumika

Washindi watajulishwa kwa simu. Iwapo hatuwezi kuunganishwa na Mshiriki ndani ya saa 48 za droo, zawadi itatolewa na kuingizwa tena katika droo nyingine.

Matokeo ya droo hiyo yatatangazwa kwenye mitandao ya kijamii. Kwa hivyo mtu anapaswa kufuata kurasa zetu za mitandao ya kijamii.

Vigezo na Masharti ya Kujisajili kwenye Ofa hii.

  • Washiriki wote lazima wajiandikishe ili kuingia kwenye ofa.
  • Mshiriki anajiandikisha kwa OFA hii kwa kutumia ID namba yake.
  • Ni jukumu la Mshiriki kuhakikisha kuwa ID namba yake (Kitambulisho cha Mshiriki) anachoingiza ni sahihi. ID namba isiyo sahihi haitatambulika.
  • Usajili wa ofa unahitaji kufanywa mara moja pekee wakati wa OFA na unaweza kufanywa wakati wowote. Hata hivyo, Mshiriki atasajiliwa TU kwenye ofa mara tu atakapokuwa amejiandikisha.
  • Kwa kujiandikisha kwa ofa, unathibitisha kuwa umesoma na kukubaliana na Vigezo na masharti vyote ya ofa hii.